Translate this blog in your favourable language

My pager view

Sunday, June 6, 2010

hawa jamaa nawakubali kiukweli mi nasema ni wasanii wa ukweli

no longer at simple way.coz ukitaka kuangalia hawa jamaa walipotoka si ajabu akakwambia alianza muziki tangu akiwa mdogo ila tatizo likaja kwenye kutoka . bila shaka hawa jamaa wewe pia unawakubali sana kama mimi yani imenibidi tu niseme barnaba , diamond, amini, beca. na tht kwa ujumla mpo juu wazee. kula shavu.

No comments: