Translate this blog in your favourable language

My pager view

Wednesday, June 16, 2010

diva na mambo yake ktk web yake nazikubali kazi zake.

no longer at simple way. inawezekana mi nikawa sio msanii ila kiukweli ningekua msanii labda ningemtungia single namfeel kiukweli may be labda namfil coz kwao tanga kama mimi ila du nashukuru kwa mchango wake kwangu bila shaka siku moja steven na diva watafanya kazi pamoja naomba kwa mungu wangu mimi wale wanaomchukia wapate kilema cha usahaulifu diva kama utaiview post hii hebu waambie kitu hao wanaojifanya kuwa ni madiva na wanakupiga wewe kkwangu uko juu daima...

No comments: