Translate this blog in your favourable language

My pager view

Tuesday, June 22, 2010

miss tnga nao walifunika kiasi chake kifupi ilibamba japo si sana

steve used to say... miss tanga 2010 ilkua bomba sana na ilivutia kiukweli ila ripoti muhimu kuhusu miss tanga iko njiani inakuja wapo waliotoa maoni yao ila cha ajbu wengi walimpenda ila pia wapo waliosema katika kupigania miss tanzania hatafika popote je nini kitatokea endelea kufuatilia blog hii tunakusanya maoni ya wadau mbalix2... wewe pia unaweza kutoa maoni yako ...

you may enjoy this but dont woryy my follower coz tym hi"ntoshi

steve used to say...muda jambo la muhimu sana ndio mana nawashukuru sana kwa kutumia muda wenu kufungua blog hii na kuview vi2 flani flani ila bado nasema sipendi siku ipite au utoke kapa unaweza ukaona tofauti kwa kuangalia pic kutoka blog and webs mbalix2 ndani ya dunia hii......

kuna designer chipukizi anataka kutoka na kiukweli mimi nimemkubali anaitwa .Happyness Kikota.

steve used to say...kila mtu ktk dunia hii anafani yake na kila mtu ana kile ambacho anakipenda hii inadhihirika pale msichana aitwae happ anapojitokeza na kusema anapendasana mambo ya designing na pia amewahi kudesign na alifanya vizuri sana ila tatizo ni sponsor ndio anakosa kama wewe unapenda kuwa sponsor wake tuwasiliane thru stivenmruma@yahoo.com.. or 0719507240..

Friday, June 18, 2010

NA SIWEZI KUCHA LEO IPITE HEBU WAONE HAWA..

steve used to look...

diamond kiukweli wmeosha sana

steve used to say...kukutana na watu maarufu na kupewa ushauri kama aliopewa na N"DOU..SIO JAMBO DOGO..

ebwana ee wabngo makatili kumbe

steve used to say...mi naona hata wanaoiba kazi za wasanii wafanye hivi au sio wadao..

Thursday, June 17, 2010

yaani kiukweli nazidi kupata mzuka wa world cup yaani woza

mambo ya woza ndio ambayo yanazidi kuifanya dunia inazizima kwa kua kila mtu hasa wale ambao ni mashabiki wa mpira kama mimi masikio macho pamoja na kiasi cha akili kipo sauzi kwa sasa ni jambo muhimu sana iwapo utalifanya muhimu pia ila kwangu mimi ni muhimu sana na napenda sana mpira bila shaka ni kama weweam yule.....

Wednesday, June 16, 2010

world vision shirika la kijamii linalosaidia watoto

hakika kila kitolewacho kama zawadi huwa bora siku zote nalikubali sana hili shirika la worldvision kwa mchango wao mkubwa kwa jamii mpaka leo asilimia kubwa ya watoto wote huko maeneo ya vijijini wamepata udhamini kutoka japan na wanafurahia sana udhamini huo.. yapo mengi na nina andaa makala maalum ya world vision na mustakabali wa watoto wetu.. 2wemo tuchangie na tutoe mawazo yetu na pia kuomba dua zetu ili mambo yaendelee kuwa sawia.......

jamani msione naweka post chache sijawachka ila nasisitiza woza..

wengi mtashangaa kwanini mambo yamekuwa slow sana duh poleni na daima msikate tamaa mimi naamini mambo yote yataenda kama ilivyopangwa muda si mrefu kama mlivyonichukulia poa pale nlipo kosa nichukulieni na hapa pia au sio bila shaka 2po pa1 wa2 wangu 4WARD EVER BACKWARD NEVER... STEVEN 2GTHR WITH DIVA LOVENESS LOVE..

diva na mambo yake ktk web yake nazikubali kazi zake.

no longer at simple way. inawezekana mi nikawa sio msanii ila kiukweli ningekua msanii labda ningemtungia single namfeel kiukweli may be labda namfil coz kwao tanga kama mimi ila du nashukuru kwa mchango wake kwangu bila shaka siku moja steven na diva watafanya kazi pamoja naomba kwa mungu wangu mimi wale wanaomchukia wapate kilema cha usahaulifu diva kama utaiview post hii hebu waambie kitu hao wanaojifanya kuwa ni madiva na wanakupiga wewe kkwangu uko juu daima...

Tuesday, June 15, 2010

bado tunaendelea na mambo ya world cup

sio kwamba kimya hiki kinaashiria sipo la hasha ni kombe la dunia tu ndo linanifanya niwe bize ila tupo pamoja kama nitakuwa na mapungufu nisameheni bure hii kazi sio ndogo wa2 wangu ila kwa ufupi sema one love kama umenisamehe.... bila shaka umesema au so wangu wa ukweli/...

Sunday, June 13, 2010

siko mbali nanyi ila tatizo world cup ndio probs.

yaani wa2 wangu niko bize na kombe la dunia na nimeamua kuongezea blog nyingine ili kwapa1 2weze kupata mabo yote ya world cup na blog yenyewe ni smruma.blogspot.com. kama vipi ipitie uweze kupata picha,video na mambo mengine mengi yahusuyo kombe la dunia yani dunia nzima ipo sauzi sijui wewe uko wapi..

Tuesday, June 8, 2010

hakika uwanja wetu uliuza vyakutosha [ our stadium is very nice]

tanzania main stadium is very beauty and have possibility of take 60,000 people kiukweli katika mechi ya jana uwanja wetu uliuza vya kutosha na hii inaweza ikaupafulsa ya kuandaa mashindano makubwa ya kimichezo hapa afrika pia inawezekana hta kidunia,, na jana kaka alisema uwanja ni mzuri unamandhari nzuri inayovutia wachezaji kucheza mpira kiburudani na kiushindani.. wadau msiubanie uwanja uwacheni uuze vya kutosha nabilashaka matunda mazuri yanakuja haraka tuwemo. wote watanzania kuutunza na kuusapoti uwanja wetu.....

mambo matatu muhimu yakuyafahamu ktk mechi ya tanzania na brazil

1. kwa mara ya kwanza ndani ya mechi sita bila kufungwa goli lolote jana hatimaye jabir azizi akakata mziziwa fitna akavunja rekodi muhimu ya brazil hapo jana. 2.kinyume na mazoea ya wengi kuwa polisi huwa wanaangalia mashabiki kwa ajili ya usalama jana ilikua nitofauti kwani walijisahau mpaka shabiki akashuka jukwaani na kuingia uwanjani bila kikwazo na njemba hiyo kujizolea umaarufu. 3. kinyume piana matarajio ya wachambuzi wengi kuwa kaka na robinho wangecheza kipind kimoja jana walikipiga dakika zote 90. yapo mengi ila leo chukua hayo...

chile national team still wants to show wonders in sout afrca

timu ya taifa ya chileikotayarikabisakukwaana natimu yoyote katika kombe la dunia hii inatokana na mazoezi mazito ambayo timu hiyo mpka sasa inakua inayafanya wachezaji wakofit wote piawanaari ya kufanya maajabu nakutwaa kombe hilo ambalo iwapo itatwaa itakua ni mara ya kwanza kwao kutwaa kombe hilo ambalo brazil ndio inayo ongoza kutwaa mara nyingi mara 5...na hii ndio picha wakiwa mazoezini mapemawiki hii..

kanu hachoki mi naona akawe kocha msaidizi

nwanko kanu is one among 23 players selected to his coach standing help nigeriato fighting for world cup 2010 but theage of kanu and his possition i think may be he will be assistant coach of nigeria or may be he is going to look funs player. but to get chance of play its very diffcult... but let waits...

have a new movie you have to got it

i hav got nw movie andthink is too hot coz is still new and very very fantastic movie and ithink by using yahoomovie search youmay buy itthru intrnet its possible .. okey got it soon..

Monday, June 7, 2010

vivazi vinavyotega halafu ndio vinapendwa kama kula

ukiangalia katika mavazi ambayo yanapendwa sana hata nyumbani mtoto akiondoka mama yake ama baba yake anakaa kimya huku akijua kiheshima vazi lile sio zuri ila anampa uhuru wa kijinga mwanae akatege watu halafu akipata mimba , ukimwi nk. ankua wakwanza kulaumu kana kwamba wakati mwanae akiwa ktk mavazi ya ajabuajabu yeye hakuwepo ,, jamani wazazi tubadilike tuwe wakwanza kuwakemea watoto wetu hasa wakike ili angalau wajiheshimu na mitaani pia waheshimiwe,.usione soo sema nae....

maisha ya kutegana ndio hasa yanafanya juhudi za kutokomeza ukimwi zigonge mwamba.

mavazi ya heshima yanaweza kumfanya mtu akawa tofauti kabisa , ila katika zama hizi za utandawazi kuna mavazi, mitandao, na mitoko ya aina mbalimbali ambayo hiyo kwa wale wanao athiliwa na kuona [wanaume] huwa wanashindwa kuzuia hisia zao na mwisho wa siku wanakua wanabadili wanawake kama nguo ila mi naona chanzo chake ni mitego hasa ya kimavazi .. mfano angalia picha hiyo halafu na wewe sema kitu kuhusu hilo,,... am out..

vigezo ambavo kwa mara ya kwanza mtu huwa anaviangalia ktk mahusiano

kwa misha ya kawaida tuliyo yazoea hasa vijana kifup tunapenda sana kutumia vigezo vya uzuri wa sura kwa mfano mtu anapokua na mvuto sana kila mtu atataka kua nae ktk mahusiano lakini kama hana mvuto ni ngumu sana watu wengi wakawa wanampenda na kama ni kutongozwa basi ni wachche sana ambao wanapenda kuangalia vigezo vya tabia na mambo mengine ndio watampenda na pengine kumtongoza.....

Sunday, June 6, 2010

hawa jamaa nawakubali kiukweli mi nasema ni wasanii wa ukweli

no longer at simple way.coz ukitaka kuangalia hawa jamaa walipotoka si ajabu akakwambia alianza muziki tangu akiwa mdogo ila tatizo likaja kwenye kutoka . bila shaka hawa jamaa wewe pia unawakubali sana kama mimi yani imenibidi tu niseme barnaba , diamond, amini, beca. na tht kwa ujumla mpo juu wazee. kula shavu.

we have to get more pics

pics like that and etc...kuna pic za ukweli na zingine za kiaina . but i think my pic is so nice for every one and thats make you enjoy you time of view my blog good and with presuereof knowing more every day.. be mine on blog all friend coz STEVE ALWYS FOR ANY ONE... WE ARE TOGETHER.

we have to move foward because this world is not for group of people or riches etc

i have deside to writte many of my posts in eglish in order the whole world understand what am talking about and this is good way to achive my blogs so join me in follower and we will share together.. be ware my friends..

DUNIA NA MUSTAKABALI WA NIDHAMU KATIKA JAMII ZETU

huwa maranyingi sana nakutana na mambo ya kustaajabisha sana yani unaweza kuta mama mtu mzima na heshima zake amevaa kimini kama siosuruali inayobana nakumuonesha maungo yake yalivyo halafu akipita anataka aheshimiwe wakati yeye hakujiheshimu kwanza yani ni aibu hata kusema na ukichunguza kwa undani utagundua kuwa ni mama wa watoto wakubwa na ameolewa na ana familia kubwa yani inashangaza .. jamani tubadilike akina mama tunawapenda na kuwahehimu nanyi jiheshimuni basi hata kidogo tu jamani mbona mnatufanyia hivyo au mnataka tuwatongoze mkatangaze hatuna heshima..

jamani sasa hii si laana kabisa.

yaani nimepata habari ya mwanaume kuoa mwanaume mwenzake halafu dume lililo olewa limeibuka na kusema lina mimba yani hii laana sijui itatupeleka wapi ndugu zangu mimi leo nipo tanga lakini siwezi kulichukulia poa hata kidogo coz linaniuma sana kuona serikali haikulifuatilia sualahili ili sheria ichukue mkondo wake lakini wanaachwa hivi hivi halafu tunapanda majukwaani na kujigamba eti tanzania bila ukimwi inawezekana.., MIMI NASEMA KWA HALI HII TANZANIA BILA UKIMWI HAIWEZEKANI HAIWEZEKANI HATA KIDOGO...

mikosi ya timu za africa world cup

ni habari ambazo ukisikia labda hazitakufurahisha coz michael essien ameshindwa kucheza kombe la dunia kutokana na majeruhi,, lakini haiihii hapo na didie droba nae kavunjikamkono na kuna uwezekano mkubwa nae pia akakosa kombe la dunia kwangu ni huzuni kubwa sana na wakati mwingine huwa nafikiri ni hujuma tunafanyiwa ila inabidi tuamini kua ni kama ajali ya kawaida but tuwaombee kama vipi.............

Friday, June 4, 2010

face book katika kuchati inaongeza upeowa kufikiri

yo need to chat? if yes join in my blog for more info..

faida za michezo hasa umiseta

no longer at simple way. but the way we are ... mh,.., mashindanoya umiseta kimkoa yalianza jana na kuendelea na leo ila kuna mapungufu mengi sana yamejitokeza kwa mfano timu ya wilaya ya kilindi ilicheza mecchi tatu ndani ya masaa 6 [sita] kwakweli utaratibu huo mi naona kama ulikua mbovu kupitiliza bebu jaribuni kujipanga mana hata hivyo vipaji haviwezi kutambulika kwa njia hiyo...

Wednesday, June 2, 2010

afrika na mtazamo wa ukimwi

no longer at simple way. you may open website of HIV free generation steve isay it begin with me not you please say and you it begin with me not it begin with you.. we will move forwad... comment from tanzania ,,.toa maoni yako we unaonaje mtazamo huu...

fatuma nasiry anasema kitu..

ansema tanzania bila ukimwi inawezekana kwasababu watu wakiwa na msimamo kwenye ndoa zao na katika mahusiano yao..
wanaoasilika sana na virusi vya ukimwi ni akina dada kwasababu
tamaa na kutoridhika na walivyonavyo.
halafu tabia inachangia mnaamukizi kuwa juu. na pia anaamini umasikini
unachangia kwa asilimia ndogo sana katika maambukizi..
pia anasema kama unaamini kondom inazuia ukimwi kuna umuhimu wa kuitumia hata kwa mtu unaye muamini. ansema yeye binafsi anaiamini kondom kwa asilimia 10 tu.
anshauri watu wawe waaminifu ktk mahusiano....