Translate this blog in your favourable language

My pager view

Tuesday, May 25, 2010

Tilda anazungumziaje kuhusu tanzania bila ukimwi?

anasema tanzania bila ukimwi inawezekana kwasababu watu wakiwa waaminifu wakiwa na mpenzi mmoja au kutumia kondom ipasavyo inawezekana tanzania bila ukimwi ikawezeka kabisa .... ...TILDA HUMPHREY TANGA TANZANIA...

No comments: