Translate this blog in your favourable language

My pager view

Monday, May 31, 2010

ikiwa leo tunaaga mwezi may kuna mapya yaliozoeleka.

katika pita zangu ndani ya tanga mana ndioskani la ukweli nina viripoti flaniflani ila chaajabu wenye breaking new wanataka kunitakrima nisiwatoe katika blg yangu.. sasa minasema kama vipiipo siku ntawaumbua yani mtu unazini mpaka unafumaniwa bahati nzuri picha zaoninazo ipo siku nitazitoa kiana na kwataarifa yaosipend takrima at all.ila hali yangu mfukoni sio nzuri ndo mana leo naipotezea ila zikijaa mambo hazarani kakuna cha nini wala cha nini...

No comments: